Webinaa kuhusu Urekebishaji wa Sera ya Ardhi Nchini Kenya ilifanyika tarehe 10 Oktoba, 2018. Webinaa ilipitia mchakato wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi nchini Kenya na ikashughulikia changamoto anuwai. Lengo lilikuwa kubaini hatua za kufuata zitakazoleta usawa na haki katika urekebishaji wa sera ya ardhi.
Webinaa ilishughulikia maswali yafuatayo:
Tumefika wapi katika mchakato wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi?
Changamoto kuu zinazohitaji kushughulikiwa katika mfumo wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi na matumizi ya ardhi ni zipi?
Resultados de la búsqueda
Resultados de la búsqueda
Mostrando ítems 1 a 9 de 1.-
Library ResourceInformes e investigacionesFebrero, 2019Kenya
Búsqueda en la Biblioteca de Tierras
A través de nuestro sólido motor de búsqueda, puede explorar cualquier elemento de los más de 64.800 recursos rigurosamente seleccionados en la Biblioteca de la Tierra. Si desea obtener una visión general de lo que es posible, siéntase libre de examinar la Guía de búsqueda.