Webinaa kuhusu Urekebishaji wa Sera ya Ardhi Nchini Kenya ilifanyika tarehe 10 Oktoba, 2018. Webinaa ilipitia mchakato wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi nchini Kenya na ikashughulikia changamoto anuwai. Lengo lilikuwa kubaini hatua za kufuata zitakazoleta usawa na haki katika urekebishaji wa sera ya ardhi.
Webinaa ilishughulikia maswali yafuatayo:
Tumefika wapi katika mchakato wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi?
Changamoto kuu zinazohitaji kushughulikiwa katika mfumo wa urekebishaji wa Sera ya Ardhi na matumizi ya ardhi ni zipi?
Resultados de la búsqueda
Mostrando ítems 1 a 9 de 2.-
Library ResourceInformes e investigacionesFebrero, 2019Kenya
-
Library ResourceInformes e investigacionesEnero, 2022África, Tanzania, África occidental, Asia, Asia central, Mongolia, Global
Kwa zaidi ya miaka mitano, Mradi wa Usalama wa Umiliki wa Ardhi kwa Wanawake (WOLTS) umekuwa ukichunguza uhusiano wa kijinsia na ardhi katika jamii za wafugaji zilizoathiriwa na uchimbaji wa madini Mongolia na Tanzania. Lengo limekuwa ni kutengeneza mbinu ya ushiriki wa jamii kwa muda mrefu na kujenga uwezo wa kulinda na kusaidia haki za ardhi za watu wote walio katika mazingira magumu na hivyo kuelekeza nguvu katika usawa wa kijinsia, usimamizi na umiliki wa ardhi kwa mfumo ambao utarahisisha maboresho katika haki za ardhi kwa jamii yote.
Búsqueda en la Biblioteca de Tierras
A través de nuestro sólido motor de búsqueda, puede explorar cualquier elemento de los más de 64.800 recursos rigurosamente seleccionados en la Biblioteca de la Tierra. Si desea obtener una visión general de lo que es posible, siéntase libre de examinar la Guía de búsqueda.